BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,877
- 20,359
Mzalendo ndio nini?Nyote tu wachumia tumbo. Hakuna mzalendo hata mmoja kati yenu.
👍
Kwani wewe ndio Pascali?Wewe ni kanjanja tu, tena mwoga kama kunguru!
Sasa kama unataka kushindana na Mayala weka jina lako halisi hapa JF kama mwenzio alivyofanya.
Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord alafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili battle sio kali kabisa ukilinganisha na battle la bibi na wale jamaa kuhusu khadith katika dini ya Allah
Kinacho matter jf sio "real ID" or "fake ID".Wewe ni kanjanja tu, tena mwoga kama kunguru!
Sasa kama unataka kushindana na Mayala weka jina lako halisi hapa JF kama mwenzio alivyofanya.
Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord alafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa!Hata wewe siyo mzalendo pia
In God we Trust
Madui ni wawili upinzani na kolona kazi kweli kweli eeh?Korona imefika now you are happy.