Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Uchaguzi 2020 - Wana JF, Nipeni Pole!, Msinicheke, Wala Msinibeze, Nimegombea Ubunge Kawe Kupitia CCM, Nimeambulia Kura 0!. Ama Kweli CCM Ina Wenyewe!
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Uchaguzi 2020 - Wana JF, Nipeni Pole!, Msinicheke, Wala Msinibeze, Nimegombea Ubunge Kawe Kupitia CCM, Nimeambulia Kura 0!. Ama Kweli CCM Ina Wenyewe!