proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,481
- 1,354
Hello wadau heri sana kwa pasaka. Natumaini yote ni wazima wa afya tele, kama haupo poa basi Muumba akupe wepesi upone haraka.
Nipo hapa Songea hata sielewi elewi hii siku utaishaje,kama kuna chimbo lenye pisi kali naweza enda osha macho basi tupeane konekshioni.
Hello nyie watembo amkeni amkeni tunawatafuta aisee.Natanguliza shukrani zangu za dhati
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo hapa Songea hata sielewi elewi hii siku utaishaje,kama kuna chimbo lenye pisi kali naweza enda osha macho basi tupeane konekshioni.
Hello nyie watembo amkeni amkeni tunawatafuta aisee.Natanguliza shukrani zangu za dhati
Sent using Jamii Forums mobile app


. Ingia telegram agiza wa songea anafika popote ulipo