Part Time Jobs For Students

coalman

New Member
Apr 14, 2011
4
0
If you are a student looking for an online job that does not require an investment to obtain, probably you want a job with a schedule ...

APPLY NOW
 
Doh, najua tunataka kusaidiana na kufanya juhudi kuanzisha websites na vitu kama hivyo ambavyo vitasaidia wengine,lakini kama unaona lugha tatizo,basi jaribu kuomba msaada watu wakusaidie,maana haina maana unaanzisha website halafu lugha una chapia kiasi hiki.Omba msaada,si aibu kusaidiwa inapohitajika....
 
Ujumbe umefika chakuzingatia sio Lugha yake....nivizuri amejaribu...kesho ataweza..gari haianzi safari kwa gia namba 3.....
 
Hiyo sio lugha mama. Wachina wanatumia kichina wanafanyakazi
mpaka nje ya nchi yao? Lugha nzuri haimaanishi unacontent kiasi gani.
Chuku kilicho muhimu sepa.
 
Hakuna cha swala la ujunbe umefika. Tunapokosea inabidi tuambiane na tukubali makosa. Kama lugha ya watu haipandi basi tumia lugha yako,kwani angeandika kwa kiswahili angekosa nini? Tuamue moja. Kama tunataka tutumie kiingerza basi tujaribu kukitumia katika ufasa wake. Swala la ujumbe umefika,ni mambo ya uvivu haya,kuhimizana kufanya makosa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom