Doh, najua tunataka kusaidiana na kufanya juhudi kuanzisha websites na vitu kama hivyo ambavyo vitasaidia wengine,lakini kama unaona lugha tatizo,basi jaribu kuomba msaada watu wakusaidie,maana haina maana unaanzisha website halafu lugha una chapia kiasi hiki.Omba msaada,si aibu kusaidiwa inapohitajika....
Hiyo sio lugha mama. Wachina wanatumia kichina wanafanyakazi
mpaka nje ya nchi yao? Lugha nzuri haimaanishi unacontent kiasi gani.
Chuku kilicho muhimu sepa.
Hakuna cha swala la ujunbe umefika. Tunapokosea inabidi tuambiane na tukubali makosa. Kama lugha ya watu haipandi basi tumia lugha yako,kwani angeandika kwa kiswahili angekosa nini? Tuamue moja. Kama tunataka tutumie kiingerza basi tujaribu kukitumia katika ufasa wake. Swala la ujumbe umefika,ni mambo ya uvivu haya,kuhimizana kufanya makosa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.