Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa jijini kutokana na hali ya uchumi kupanda nimeamua kutangaza kwenu wanajamii forum kwa yeyote aliye na nafasi kwenye ofisi yake ambayo iko wazi asisite kunisaidia ili niweze kujikwamua kimaisha naomba kuwasilisha.
Dar wadau