bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Wadau mimi ni mtaalam wa IT nina uzoefu wa miaka minne kazini, natafuta kazi ya part time kuanzia mida ya saa mbili asubuhi mpaka saa nane na nusu mchana maeneo ya Dar es Salaam. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa yeyote atakaeguswa na tangazo hili