Part time Data entry clerk Needed asap.

Part time Data entry clerk Needed asap.

Doltyne

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
440
Reaction score
173
:::::::THIS POSITION IS NO LONGER AVAILABLE::::::

natafuta mtu wa kuingiza data kwenye website.

1. Atafanya kazi alipo (nyumbani au kokote awezako)
2. Awe na computer na modem yenye speed nzuri ya internet (gharama za internet atalipiwa)
3. Awe anaelewa vizuri sana tena sana internet/forums na social networks
4. Awe Ana uwezo mkubwa sana wa kutype haraka, kufupisha Habari na taarifa mbali mbali.
5. Ategemee kuandika, kunakili, kunukuu makala mbali mbali zipatazo 100 kwa siku, (training itatolewa).
6. Hii ni part time placement, kama ana soma au anafanya kazi nyingine inabidi athibitishe kuwa na skills za kujituma na kufanya kazi bila kushurutishwa au kusimamiwa.
7. Mshahara 250,000 kwa mwezi na utakuwa unapanda kadri atakavyoridhisha na utendaji.
8. Awe anafahamu KINGEREZA NA KISWAHILI kwa ufasaha sana. (kusoma na kuandika)
9: Awe na Elimu ya chuo chochote preferred uandishi wa Habari au IT.
10. Awe mpenda siasa na habari na awe na uwezo wa kuripoti kimaandishi hasa kwa ufupisho.
NB: NAFASI HII NI KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM TU.


:::::::THIS POSITION IS NO LONGER AVAILABLE::::::
 
natafuta mtu wa kuingiza data kwenye website.

1. Atafanya kazi alipo (nyumbani au kokote awezako)
2. Awe na computer na modem yenye speed nzuri ya internet (gharama za internet atalipiwa)
3. Awe anaelewa vizuri sana tena sana internet/forums na social networks
4. Awe Ana uwezo mkubwa sana wa kutype haraka, kufupisha Habari na taarifa mbali mbali.
5. Ategemee kuandika, kunakili, kunukuu makala mbali mbali zipatazo 100 kwa siku, (training itatolewa).
6. Hii ni part time placement, kama ana soma au anafanya kazi nyingine inabidi athibitishe kuwa na skills za kujituma na kufanya kazi bila kushurutishwa au kusimamiwa.
7. Mshahara 250,000 kwa mwezi na utakuwa unapanda kadri atakavyoridhisha na utendaji.
8. Awe anafahamu KINGEREZA NA KISWAHILI kwa ufasaha sana. (kusoma na kuandika)
9: Awe na Elimu ya chuo chochote preferred uandishi wa Habari au IT.
10. Awe mpenda siasa na habari na awe na uwezo wa kuripoti kimaandishi hasa kwa ufupisho.
NB: NAFASI HII NI KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM TU.




Kwa mawasiliano piga simu namba 0714881500.

kwa mshahara huo bora madogo muuze maji na juicee italipa kulioko kuumizwa macho na akili kusoma makala mia kwa siku kwa mshahra mbuzi;shame on you kutaka kutumikisha wenzenu kwa mshshara mbuzi..ww ungelipwa hiyo hela ungeitumia mwezi mzima???ebo??try to be considerate
 
kwa mshahara huo bora madogo muuze maji na juicee italipa kulioko kuumizwa macho na akili kusoma makala mia kwa siku kwa mshahra mbuzi;shame on you kutaka kutumikisha wenzenu kwa mshshara mbuzi..ww ungelipwa hiyo hela ungeitumia mwezi mzima???ebo??try to be considerate

Unajua maana ya part time?
Unajua skills na faida atakazopata kwa kuwa mtafiti?
Hii ni kazi ya kucopy na kupaste sasa kama unataka ulipwe milioni kwa kukaa nyumbani kwako na laptop unapaste habari sijui tukuiteje? Au unataka per diem? Manaake graduates wanalipwa laki 5 serekalini kwa kutarajia siku moja watapata safari nje ya mkoa...
Hebu tuambie, kwa kazi ya masaa matatu kwa siku umekaa sebuleni kwako ungependa ulipwe kiasi gani vile?
For anyone serious, the job is still available.
 
si mbaya wapo watu wanaitaji subiri wsome tu watakutafuta hata me ningeifanya it ndio zangu ila natumia muda mwingi kuwa mikoani field
 
si mbaya wapo watu wanaitaji subiri wsome tu watakutafuta hata me ningeifanya it ndio zangu ila natumia muda mwingi kuwa mikoani field
Hakuna shaka ndugu, najua Kuna watu waelewa kama wewe wengi sana.
Huyo jamaa anadhani kazi ni mshahara tu? Anaweza kuspend masaa matatu facebook kwa siku anasoma upuuzi na kujadili udaku lakini akiambiwa afanye kazi hiyo hiyo kwa laki mbili.kwa mwezi atalalamila.
 
Kwako Mhusika ASAP,

Me nipo tayari kufanya kazi ya kuingiza data na nifani ya IT pia ninuwezo mkubwa katika kuandika kwenye mashine na naweza kutumia lugha yoyote kati ya kiingereza na kiswahili.

Ahsante,
Wako Emmanuel kichere,
+255714 137 474
email:kicheree@hotmail.com
 
Hakuna shaka ndugu, najua Kuna watu waelewa kama wewe wengi sana.
Huyo jamaa anadhani kazi ni mshahara tu? Anaweza kuspend masaa matatu facebook kwa siku anasoma upuuzi na kujadili udaku lakini akiambiwa afanye kazi hiyo hiyo kwa laki mbili.kwa mwezi atalalamila.
acha tu ndugu yangu kazi ni ngumu sana mjini data entry hiyohiyo watu wanafanya 8hrs kwa elfu kumi kwa mwezi laki 3 uliza tume ya uchaguzi na nida na wapo graduate humo wanahaha we bwana acha wajishauwe humu kwa kuwa hatuwajui tu,any way
 
Unajua maana ya part time?
Unajua skills na faida atakazopata kwa kuwa mtafiti?
Hii ni kazi ya kucopy na kupaste sasa kama unataka ulipwe milioni kwa kukaa nyumbani kwako na laptop unapaste habari sijui tukuiteje? Au unataka per diem? Manaake graduates wanalipwa laki 5 serekalini kwa kutarajia siku moja watapata safari nje ya mkoa...
Hebu tuambie, kwa kazi ya masaa matatu kwa siku umekaa sebuleni kwako ungependa ulipwe kiasi gani vile?
For anyone serious, the job is still available.
Isije ikawa maana ya part time kwako ni mshahara mdogo...
 
haya waungwana haoo cheki nao tu mkuu tujenge taifa
 
Unajua maana ya part time?
Unajua skills na faida atakazopata kwa kuwa mtafiti?
Hii ni kazi ya kucopy na kupaste sasa kama unataka ulipwe milioni kwa kukaa nyumbani kwako na laptop unapaste habari sijui tukuiteje? Au unataka per diem? Manaake graduates wanalipwa laki 5 serekalini kwa kutarajia siku moja watapata safari nje ya mkoa...
Hebu tuambie, kwa kazi ya masaa matatu kwa siku umekaa sebuleni kwako ungependa ulipwe kiasi gani vile?
For anyone serious, the job is still available.

Unahesabu masaa matatu tu ila hujaona huo ugumu wa kazi?/ww unaweza kusoma makala mia kwa siku ukasummarize cjui na kufanya vitu gani???ebo ebu achen ubahili .kutaka kuumiza macho na akili watoto wa watu,sasa kama part time mbona umeandika mshahara mwisho wa mwezi??ww vp hebu kapitie ELRA 2004 kwanza ahisi huijui
 
Asanteni kwa ushirikioano. Nafasi imeshapata watu waliokuwa wanahitajila. If you are still interested in working with us, PM me, for other upcoming opportunities.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom