Part (II) Kwanini nchi za Afrika ikiwemo Tanzania bado maskini licha ya kupokea Misaada na Mikopo ya mamilioni ya Fedha kutoka nchi zilizoendelea?

Naomba kujua zaidi kuhusu hili, naona linafikirisha sana!
Nimefanikiwa kuropoka tu, sijui chochote kuhusu hili. Labda kama utafanikiwa kuwapata wataalamu wa madini, mafuta na gas. Wamo wengi tu humu jukwaaani
 
Kuanzia kule juu njaa ndio shida, kila mtu anataka akistaafu asiwe na shida yoyote pamoja na vitukuu vyao maisha yao yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…