ICT_student_TZ
JF-Expert Member
- Jun 27, 2018
- 392
- 175
Yah ni lazima maaana akiiiiwasha pc baada ya kuattack ile backdoor itaexport cmd yake na firewall itaopen port ambayo umeeeweka sasa wewe ukiconnect utapata cmd yake.... Sasa unahitajika kuijua cmd vzr
Ila wengi njia hiii wanatumiaga kupiga ransomeware pale endapo wakiiipata hio connection wana run script na programs + ransomware
VP tukitumia knowledge shell script kurun kwenye cmd ya victim? Either powershell au bash..?Yah ni lazima maaana akiiiiwasha pc baada ya kuattack ile backdoor itaexport cmd yake na firewall itaopen port ambayo umeeeweka sasa wewe ukiconnect utapata cmd yake.... Sasa unahitajika kuijua cmd vzr
Ila wengi njia hiii wanatumiaga kupiga ransomeware pale endapo wakiiipata hio connection wana run script na programs + ransomware
And what are u recommend kati ya powershell na bash kutumia kuattack windows victim?