MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,829
- 2,986
Salaam kwenu wakuu.
Natoa tahadhari sana tunapotaka kuegesha magari tuweke sehemu iliyo salama wandugu
Hivi punde tu kuna jamaa aliegesha gari aina ya Prado maeneo ya Kariakoo karibu na stendi ya daladala za Msasani kwenye linalouza ice cream hizi za Azam, zikaanguka tiles mpaka kwenye na kuvunja kioo cha gari.
Sasa sijajua sheria hapo inasemaje kuhusu kufidiwa ni gharama yake mwenyewe kama haijakatiwa bima au ni mwenye jengo au hawa wanaokatisha tiketi za maegesho...? Wajuzi mtatuambia katika hilo.
Nikasema nitoe tahadhari kwa kushea na nyinyi wandugu mchukue tahadhari mnapoegesha magari muegeshe sehemu iliyo salama.
Natoa tahadhari sana tunapotaka kuegesha magari tuweke sehemu iliyo salama wandugu
Hivi punde tu kuna jamaa aliegesha gari aina ya Prado maeneo ya Kariakoo karibu na stendi ya daladala za Msasani kwenye linalouza ice cream hizi za Azam, zikaanguka tiles mpaka kwenye na kuvunja kioo cha gari.
Sasa sijajua sheria hapo inasemaje kuhusu kufidiwa ni gharama yake mwenyewe kama haijakatiwa bima au ni mwenye jengo au hawa wanaokatisha tiketi za maegesho...? Wajuzi mtatuambia katika hilo.
Nikasema nitoe tahadhari kwa kushea na nyinyi wandugu mchukue tahadhari mnapoegesha magari muegeshe sehemu iliyo salama.