Ulaya yenye vurugu haimfai Russia...Russia nataka Ulaya yenye utulivu. Sababu muhimu ni ya kiuchumi/kibiashara. Russia anawauzia Ulaya nishati/gasi karibu asilimia 30% ya matumizi yote ya Ulaya....mkubwa wa ulaya huyu lengo lake ni kuivuruga
Ulikuwa unamaanisha ulaya ni adui mkubwa wa Urusi, wellUkisoma hiyo interview ya putin utaelewa kuwa putini anapalilia sana Nato ipasuke ikipasuka Nato lazima nato ya ulaya pia itapasuka kuna watakaomua kuendelea kuwa sehemu ya USA kuna watakaomua kujitoa kabisa
Urusi hawezi kuwa rafiki wa kweli wa bara la ulaya, urusi ni adui mkubwa wa ulaya huyu lengo lake ni kuivuruga
Africa sijui lini tutafikia kua na UMOJA huo. Burundi hali mbaya, Kenya kashfa za rushwa kila kukicha, Tanzania tunamuachia Zitto aongee. Nigeria tia maji tia maji, mungu saidia. Uganda nchi Rais Yoweri Museven ana HATI MILIKI kabisa. Somalia labda Yesu mtoto wa Maryam ashuke.
Tumekaa kinafiki kinafiki tu ndo maana hatuendelei.
Wewe unasemaje Uganda!
Sema hivi ingekuwa hapa Tanzania vifaru vingetolewa nakuangamiza RAIA wangapi?
Ni kweli kabisa, na atakae pinga hilo atakua si mzima waakili.Mkuu huwezi kuwa mzalendo kama hujapata elimu
Uzalendo huanzia kwa kujitambua mtu binafsi kwanza
Sasa waafrika wengi sisi bado wajinga
Kwani kila kitu lazima utolee mfano Tanzania?
But hata sisi tutafika huko kikubwa vijana wasiache kwenda shuleKwa hawa wasio heshimu uhai wa MTU
Kwa hawa wanaoamini wao hawatakufa
Kwa hawa wanaojisahau kuwa walizawa na lazima watakufa siku moja!
Ni kweli kabisa, na atakae pinga hilo atakua si mzima waakili.
But hata sisi tutafika huko kikubwa vijana wasiache kwenda shule
Aisee bongo wangeshamgawanye vipande kadhaaNilibaki kinywa wazi pale muandamanaji alipo mpa glasi ya wine askali wote wakagonga tano nikatafakari ingekuwa bongo ???
Natamani haya maandamano yangekua yanatokea pale gogoni
Sema ungesha sikia watu kadhaa hawapo nasi tena.
Putin hahusiki popote.dogo huyu mbishi sana.trump alikuwa anamshauri vizuri mpaka wakati Fulani wanagombana kutokana na sera mbovu.Sera zake za kuwa globalist zina mkost.trump marekani kwanza ndio maana marekani maisha mtelemko.wanajaribu kumchonganisha trump na wananchi lakini hawafanikiwi.Kwa huu moto Emmanuel macron sijui kama atabaki
Nchi ya Ufaransa imesimama watu kutoka mashambani wanakusanyika mjini Paris kishinikiza macron aondoke madarakani
Kampuni za usafirishaji hasa mabasi zimeshusha nauli kwa 50% ili kuwawezesha wananchi wanaotaka kwenda Paris kuungana na waandamanaji wengine
Usafiri wa tren pia kuna discount kwa wanaosafiri kwenda paris kwa ajili ya maandamano makubwa yaliyopangiwa kufanyika aidha vyombo mbali mbali vya habari vinaripoti macron anajiandaa kung'oka kwa hiari.
Chanzo kikubwa cha maandamano ni kupanda kwa gharama za maisha hasa nishati ya petrol
Pia makampuni kadhaa ya ndege yanashusha nauli kwa wanaokwenda paris kuandamana
Tukumbuke macron alikuwa tumaini kubwa sana kwa umma wa ufaransa kabla ya kuingia ikulu kutokana na sera zake ila sasa mambo yabadilika
My concern...Putin anataka kuisambaratisha ulaya? Kuna vitu vingi nyuma ya pazia tuendelee kusubiri na kuona
Hii inanikumbusha french rovulations iliyopelekea ufaransa kuendelea sanaView attachment 960355
Mkuu kwann huitaji Tanzania?Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
Ni kweli kabisa, na atakae pinga hilo atakua si mzima waakili.