tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Cecilia Paresso amesema kuwa "No reforms no election" ilishafanyiwa kazi ndani ya Bunge ikiwemo mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi na mabadiliko ya sheria na utekelezaji wake umeanza katika uchaguzi wa mwaka huu.
Soma pia: Cecilia Paresso achukua fomu ya kuomba CCM kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Mkoani Arusha
Ametoa kauli hiyo Septemba 5,2025 Jimboni Hai Mkoani Kilimanjaro alipokuwa akimnadi mgombea Urais wa chama chake Dkt. Samia Suluhu Hassan.
"Kule tulipokuwa kwingine kwa upande wa pili tulikuwa tunapiga keleleza No reforms no election na hiki kinachoitwa reforms imesha fanyika ndani ya bunge na Wabunge wenzangu pale ni mashahidi, tumebadilisha Sheria na kuweka Yale ambayo walikuwa wanapigia kelele na utekelezaji wake umeanza katika uchaguzi wa mwaka huu" alisema Paresso.
Soma pia: Cecilia Paresso achukua fomu ya kuomba CCM kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Mkoani Arusha
Ametoa kauli hiyo Septemba 5,2025 Jimboni Hai Mkoani Kilimanjaro alipokuwa akimnadi mgombea Urais wa chama chake Dkt. Samia Suluhu Hassan.
"Kule tulipokuwa kwingine kwa upande wa pili tulikuwa tunapiga keleleza No reforms no election na hiki kinachoitwa reforms imesha fanyika ndani ya bunge na Wabunge wenzangu pale ni mashahidi, tumebadilisha Sheria na kuweka Yale ambayo walikuwa wanapigia kelele na utekelezaji wake umeanza katika uchaguzi wa mwaka huu" alisema Paresso.