Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,773
- 24,209
......sis wazoefu wa kuchakata tunda .....tuna jua tu ............😂😂😂..kuna jamaa mmoja enz tupo tukuyu......kule miti ya maparachichi ni mingi sana ......kuokota ruhusa ....asa kuna mshkaji ukishka parachich ukimuuliza hili parachich la wapi ....atachukua then .anaonja..atakuambia huu mti wa sehemu fulan😃😃😃We jamaa umejuaje