Yamkini anashindwa kusoma hata programu za mazoezi kwenye wavuti kwa kukosa umeme[/SIZE][/FONT][/B][/COLOR][/QUOTE]
sidhani kama alikubali kusaini contract bila kuzingatia consideration,terms & conditions of the contract kwa sababu kama lugha iliyotumiwa kuandika contract ingekua unknown kwake asingesaini contract hiyo na kuwepo yanga hadi leo.