Naofia usalama wa mama devotha mie namshauri auze hicho kiwanja atokomee sehemu isiyojulikana maana msofe lazima amuue
Hapana si huyu member wa JF!! Ni yule kiboko ya investors wa kichina anawapiga kuanzia kopa feki mpaka kuwakodisha magodown ambayo hana miliki nayo jamaa ni kiboko na serikali inatambua hiloNi Msofe huyu member wa JF? Au wana uhusiano wa majina tu !?
Alikosea step nadhani ameingia cha kike! na kwa kuwa maza amekomaa,hakuna haki yoyote wangapi wanateseka kwa staili hiyo.Leo haki imetendeka kwa serikali ya magamba mbele ya mwenye hela ajabu kwelikweli, ningesema ni kwavile pinda kaingilia lakini sio mbona lilesuala la jeri muro alisema hukumu yakd ifanyike mapema mwisho wake muda umeenda sana na jeri kuishia kutimuliwa kazi kabla ya kujulikana kama ni mwalift au la
Hakuna lolote,
labda auwawe yeye kwa sumu ya panya, tena akinywa supu ya ngumi pale leaders kesho asubuhi.
jamani mwenye picha za papa Msofe aziweke hapa wengine huwa tunamsikia tu.