Papa Fransis akemea viongozi wa dini nchini Mexico

Papa Fransis akemea viongozi wa dini nchini Mexico

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Papa Fransis akiwa ziarani nchini Mexico amewakemea viongozi wa dini wa Mexico kwa kukaa kimya na kutowakemea viongozi wa Serikali ya Mexico wanapowakosea wananchi wao.

Papa Fransis amesema viongozi wa dini nchini Mexico wamekuwa sehemu ya kulea maovu ya Serikali kwa kutoa kemea maovu yanayofanywa na Serikali.
 
Back
Top Bottom