Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu

Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu

Uhai na Umauti vipo chini ya miliki ya Mwenyezi Mungu (SW), hakuna anaejua saa ngapi atakufa, siku gani atakufa, mwezi gani atakufa na mwaka gani atakufa. Asubuhi Njema.
Nafikri atakuwa anaoanisha na umri aliosema mwenyezi MUNGU kuwa mwanadamu ataishi miaka mingapi hapa duniani. Sasa ukiangalia yeye sasa hivi ana miaka 77 hivyo ni wazi kabisa ameshavuka miaka iliyowekwa kuwa ni ya lazima, ndiyo maana anasema sasa hivi anaishi kwa neema ya MUNGU tu. Bila neema ya MUNGU alipaswa awe ameshatangulia mbele ya haki miaka 7 iliyopita.
 
hakuna aijuaye kesho hata mtunzi wa kalenda...papa atulie afanye yake muda ukifika atarudi kwa mungu
 
Nachelea wakristu wa kisasa wasijesema ana pepo wa mauti...hawajui kuwa duniani tuko safarini na kwamba kwa kufa ndipo tunazaliwa katika uzima wa milele.

Hata hilo pia linawezekana. Kwa hali ya kawaida hamna mwanadamu anayeweza kujitabiria kuwa atakufa lini.
 
Uhai na Umauti vipo chini ya miliki ya Mwenyezi Mungu (SW), hakuna anaejua saa ngapi atakufa, siku gani atakufa, mwezi gani atakufa na mwaka gani atakufa. Asubuhi Njema.

Kuna maradhi yakikupata madaktari wanaweza kutabiri muda uliobakiza dunia ila hawawezi kusema muda utakaokufa wala tarehe.
 
Kuna maradhi yakikupata madaktari wanaweza kutabiri muda uliobakiza dunia ila hawawezi kusema muda utakaokufa wala tarehe.

papa atulie muda ukifika atakufa, lakin hakuna ajuae muda wake wa kufa, kuna watu wana miaka 100 na bado wanaendelea kuishi.
 
Inna Lillahi waina ilaihi Rajiuun, HIZI DINI ZINGINE HIZI NI SHIDA Kweli KWA HIYO PAPA NAJUA SIKU ATAYEKUFA,,, DU!!
 
Najaribu kutafakari kuhusu dhambi zangu na makosa yangu, siwezi kujivuna. Najua kwa sababu hali hii itadumu kwa muda mchache.

Kama sijakosea si anaitwa baba mtakatifu huyo, sasa dhambi anatoa wapi? Hahahahaha waabudu sanamu RC hapy mmebugi kwa kweli, Over!
 
Najaribu kutafakari kuhusu dhambi zangu na makosa yangu, siwezi kujivuna. Najua kwa sababu hali hii itadumu kwa muda mchache.

Kama sijakosea si anaitwa baba mtakatifu huyo, sasa dhambi anatoa wapi? Hahahahaha waabudu sanamu RC hapy mmebugi kwa kweli, Over!

Tumezoea kumwita Rais na viongozi wengine waheshimiwa, wanayofanya ni ya kuheshimika au utumbo zaidi ya heshima yakazi ya upapa?
 
Najaribu kutafakari kuhusu dhambi zangu na makosa yangu, siwezi kujivuna. Najua kwa sababu hali hii itadumu kwa muda mchache.

Kama sijakosea si anaitwa baba mtakatifu huyo, sasa dhambi anatoa wapi? Hahahahaha waabudu sanamu RC hapy mmebugi kwa kweli, Over!

Utakatifu ni kile cheo chake ambacho kiliwekwa na Yesu mwenyewe ....... ndio maana huwezi kusikia aliyekuwa Pope Benedict akiitwa Mtakatifu sasa ......Imani Katoliki si kitu chepesi chepesi kwa kutegemea kusoma tu mistari ya Biblia na kuelewa .....ndio maana wachungaji maarufu wa Kipentekoste hasa waliokuwa wabishi wa mafundisho ya Kikatoliki na kujikuta wakisoma sana mafundisho hayo ili kukosoa wameishia kuwa Wakatoliki baada ya kugundua ukweli .....mfano mkubwa ni huyu Dr. Scott Hahn (google habari zake uone) ......lakini pia kuna huyu wa Sweden anayeitwa ULF Ekman aliyetikisa kweli lakini mwisho wake ukawa habari hii hapa chini ili usihukumu usichojua vizuri............


Ulf Ekman has also resigned from the board of Yoido Full Gospel Church, one of the world's largest congregations, In his resignation letter, which Charisma has in full, Ekman explains more of the reasoning behind his conversion to Catholicism:
I discovered how little I really knew about [Catholics], their spirituality and their beliefs. Unconsciously I carried many prejudices and bad attitudes and have been quick to judge them without really knowing what they actually believed. It has been good to discover and to repent from nonchalant and shallow opinions, based not on their own sources but on their opponents, and to discover a very rich heritage, a strong theological foundation and a deep love for Jesus Christ among them.


 
Najaribu kutafakari kuhusu dhambi zangu na makosa yangu, siwezi kujivuna. Najua kwa sababu hali hii itadumu kwa muda mchache.

Kama sijakosea si anaitwa baba mtakatifu huyo, sasa dhambi anatoa wapi? Hahahahaha waabudu sanamu RC hapy mmebugi kwa kweli, Over!
Mtu akisema hana dhambi, anajidanganya mwenyewe, wala kweli haimo ndani yake...(1Yn 1:8)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom