Papa Francis kutua Uganda mwezi ujao

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,401
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani anatarajiwa kutua nchini Uganda mwezi ujao kwa ziara ya kitume nchini humo katika ziara hiyo pia papa Francis anatarajia kukutana pia na rais wa nchi hiyo yowery museveni
 
Patakuwa hapatoshi siku hiyo,

Hii inatukumbusha ujio wa Papa John Paul 2 Nchi Tanzania. Nchi zote za Africa Mashariki zilikuwa macho na makini sana kwa ujio ule.

Karibu sana Baba Mtakatifu.

BACK TANGANYIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…