Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,362
- 5,959
Mkuu mimi sijawashambulia ".... pia nili shawataka radhi wale wote waliokwazika na ile content yangu "....... so nisingependa kuendelea kuyajadili haya mambo zaidi " kwa sababu ya heshima niliyo nayo dhidi ya watu imani zote humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ndugu yangu hearly, tuko pamoja, Usiku mwema!