Papa ateua askofu mpya wa Singida

Papa ateua askofu mpya wa Singida

Gwajima aliteuliwa na nani cheo chake?..

We jamaa mdini sana wewe...huwa naona comment zako!!
Kwa wanaojua...huyu bwana ni Padre wa shirika au Jimbo??maana Singida na Mapunda duuuh!!kwani vipi kwa yule aliyekuwa VC wa Chuo cha SAUT-Mwanza??
 
Du amesemwa semwa sana padri Christopher mapunda wa likonde seminary juu ya kupewa hilo jimbo kumbe ni endward mapunda!
 
Afadhali Papa ametuona na sisi wa kusini, wakaskazini walishazidi kuteuliwa bado Pwani..
 
Hongera baba Askofu, Tunakutakia utume mwema na Mwenyezi Mungu akuongoze vema kuwachunga kondoo wake!
 
Hivi kwann kila taarifa inayo husu askofu yyte gwajima anahusishwa? @ wakuu mbona ndio tunazidi kumpaisha huyu jamaa sasa hapo kwa askofu wetu akiye teuliwa na papa tayari mnaanza kumuongelea gwajima kwann msiwaongelee maaskofu wengine?
 
Gwajima aliteuliwa na nani cheo chake?..

Who is Papa by the way ? Aliteuliwa na Mungu kuifanya kazi yake , Papa ni mwanadamu kama wewe, je anasaidiaje wTu ? Anatoa pepo kama Yesu ? HAPANA , anaombea watu kwa kukemea kupitia jina la Yesu hapana , anaomba kupitia Bikira Maria na sio Yesu, kazi ya Mungu huchaguliwi nawadamu, after all kwenye biblia imeandikwa , fufueni wafu, pozeni wagonjwa, takaseni wenye ukoma , kutoa Pepo, hebu niambie Papa anafanya hizo kazi ? But Gwajima Does haya utajua kama kateuliwa na nani kati ya Papa wako na Gwajima anaefanya kazi ya Mungu zaidi,
 
Huwezi kumfananisha papa na gwajima ww huyo gwajima kazi zake za kuponya na kuombea watu tunaziona au turudi kwenye ukweli nani anayefanya kazi zile alizo fanya Yesu wa nazarethi kati ya huyo gwajima wa
nae msema na huyo papa wenu msitufanye ss watoto na mada zenu.
 
Back
Top Bottom