kanisa la Tanzania?!!!
Duh! Hivi tangu lini singida imeweza kuwa na jimbo katoliki?
Kwani vipi..??
Mbona Jimbo Katoliki la Singida ni la kitambo sana..
Alihamishiwa jimbo katoliki la Bukoba hivyo jimbo likabaki wazi.
Gwajima aliteuliwa na nani cheo chake?..