ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Mliopo pande hizo hebu tupeni feedback nimemsikia mdada hapa akipigiwa simu na mtu wa huko akimwambia jana Jumapili jioni palikuwa hapatoshi.
Ni wakina nani wapo nyuma ya hawa panyaroad?
Maana mbona wanajiamini kufanya matukio wakati vyombo vya dola vipo?
Hawa panyaroad wapo kivyao tu ni wanetu na wadogo zetu walionyimwa elimu ila wakapata maarifa ya kufanya hayo wayafanyayo sasa lengo ni kupata hela tuNi wakina nani wapo nyuma ya hawa panyaroad?
Maana mbona wanajiamini kufanya matukio wakati vyombo vya dola vipo?
Nguchiro.Ni wakina nani wapo nyuma ya hawa panyaroad?
Maana mbona wanajiamini kufanya matukio wakati vyombo vya dola vipo?
Majambazi wote nchi nzima wanajiita panya road, hiyo inawasaidia kuogopwa na hivyo kufanikisha kufanya uhalifuNi wakina nani wapo nyuma ya hawa panyaroad?
Maana mbona wanajiamini kufanya matukio wakati vyombo vya dola vipo?
😂 😂 😂Wanaume wa Dar bana ukiwaskia wakisimulia panya rodi utafikri wanaizungumzia Alshabaab ukifanikiwa kuwaona hao panyarodi wenyewe ni watoto wa miaka 13- 19 mkubwa sana 22
Chanzo ni maisha magumu plus maovu ya serikali.Ni wakina nani wapo nyuma ya hawa panyaroad?
Maana mbona wanajiamini kufanya matukio wakati vyombo vya dola vipo?