Hatimayee zoezi lika Anza rasmi, saa sita kasoro kugaiwa vizimbaa wamachinga wa nguo, viatu, mabegi na urembo kwa siku ya leo, na kesho watafata wajasiria Mali wa mboga mbogaa na matunda, vinywaji na mpesa. Na hivi ndo vizimbaa katika eneo la dampo Buhongwa.