Panga badala ya Kisu, Binadam mna mambo nyie

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
402627_10150547924320579_177232385578_10952829_824636530_n.jpg
 
huku itakuwa ni kenya. sasa hayo ni makachumbari au ni nini jamani...dah, ugali mgumu huo...
 
Mbona hao watu wanaonekana wana mawazo ya mbali na huo ugali? wamepewa adhabu nini?

Hao watakuwa wasukuma, hapo wanawaza watashiba kweli huo ugali? usikute mbele yao kuna nyomi ya watu, so wanahisi hiyo ndonga haitoshi.... maana pande za kwao ukiambiwa subiri kaugali, ujue ni mlo wa familia mbili pande za kimazichana au chanika!!
 
Back
Top Bottom