huku itakuwa ni kenya. sasa hayo ni makachumbari au ni nini jamani...dah, ugali mgumu huo...
huku itakuwa ni kenya. sasa hayo ni makachumbari au ni nini jamani...dah, ugali mgumu huo...
Mbona hao watu wanaonekana wana mawazo ya mbali na huo ugali? wamepewa adhabu nini?
huku itakuwa ni kenya. sasa hayo ni makachumbari au ni nini jamani...dah, ugali mgumu huo...
Acha wewe.........huoni panga hilo ni mali ya magamba
Ndo buffet?