Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,097
- 8,892
Aisee! Mfano wamachinga wale ni katika mfano wa wanyonge ninao wazungumzia ambao Samia aliwavunjia mabanda yao.Mkuu nimekwambia utaje kundi
lolote katika jamii ambalo wanasikitishwa au
wanamkubuka yule dhalimu,
achana na mambo sijui ya
wanyonge kumbuka siku zote
masikini huwa hawawapendi
watu wenye akili au matajiri.
Acha kuzunguka na mambo
sijui ya nyomi wakati wengi
wao walienda kuhakikisha
kama ni kwelu yule dhalimu
kafa. Makundi namaanisha
kama Wakulima, wafanyakazi
serikalini au sekta binafsi,
wafanyabiashara, wavuvi,
wanasiasa au Individuals kama
Mh. Lissu au Mo
Mkuu watu walipoteza maisha kwenye harakati za kuaga mwili wa Magufuli ila wewe unasema et walienda kuhakikisha kama kweli kafa sasa hiyo akili au matope? Na ilikuwa kipindi cha corona yani akili yako inakwambia kabisa kwamba mtu ajihatarishe kupata maambukizi ya corona kisa tu kujua kama kweli Magufuli kafa?