KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 669
Azam tv kwa kifupi wameamua kushusha zaidi vifurushi vyao kutoka 10000 kwa mwezi hadi 8000 kwa mwezi channel zaidi ya 55
Pure kutoka 18000 hadi 13000 kwa mwezi
Channel zaidi ya 60
Plus kutoka 23000 hadi 20000 kwa mwezi
Channel zaidi ya 90
Na hapo hakutakua na malipo ya ziada ya baadhi ya channels kama ilivyokua mwanzoni mfano wasafi ilikua ikilipiwa yenyewe kwa package yake but sasahivi ukilipa hiyo 8000 mathalani inakua na hizo wasafi unazipata
Halafu huku local channel ni bure na wameamua kuondoa yale ya Malipo ya Nyongoza kwa Channel kama Wasafi Tv.
Shida yangu na ambayo naona ni shida ya watu waliowengi ni Je, tutaendeleaa kupata channel vile vile kama Zaman kwa bei mpya, yaan wale wa Azam Pure tuliokuwa tunalipa tulikuwa tunapata Channel kama Azam sports 1 & 2 HD?
Kama hilii ni tofauti basii wapenzi wa mpira tutakuwa tumedhurumiwa mnoo yaan kutokaa ts 18,000/= mpaka 20,000/=
Angalau wangetusogezea ts 15000/= ili tuendane na uchumi wa kati.
Naomba kuwasilisha.
Pure kutoka 18000 hadi 13000 kwa mwezi
Channel zaidi ya 60
Plus kutoka 23000 hadi 20000 kwa mwezi
Channel zaidi ya 90
Na hapo hakutakua na malipo ya ziada ya baadhi ya channels kama ilivyokua mwanzoni mfano wasafi ilikua ikilipiwa yenyewe kwa package yake but sasahivi ukilipa hiyo 8000 mathalani inakua na hizo wasafi unazipata
Halafu huku local channel ni bure na wameamua kuondoa yale ya Malipo ya Nyongoza kwa Channel kama Wasafi Tv.
Shida yangu na ambayo naona ni shida ya watu waliowengi ni Je, tutaendeleaa kupata channel vile vile kama Zaman kwa bei mpya, yaan wale wa Azam Pure tuliokuwa tunalipa tulikuwa tunapata Channel kama Azam sports 1 & 2 HD?
Kama hilii ni tofauti basii wapenzi wa mpira tutakuwa tumedhurumiwa mnoo yaan kutokaa ts 18,000/= mpaka 20,000/=
Angalau wangetusogezea ts 15000/= ili tuendane na uchumi wa kati.
Naomba kuwasilisha.