ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Tuombe ufafanuzi kwa hili,
Baada ya Serikali kupitia Waziri wa Fedha kutangaza kuwa kuanzia sasa hakutakuwepo ada kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2022/2023 sisi wazazi katika kumwandaa mtoto na mahitaji yake tumepambana na kipengele cha ada katika fomu za kujiunga.
Baada ya kuhoji uongozi wa shule wanasema kuwa bado hawajapata Waraka wa Serikali, hivyo tumetakiwa kulipa ada kawaida.
Tuiombe Serikali kupitia Wizara ya Elimu kulisimamia hili ili turejeshewe ada tuliyolipa ambayo serikali imeishaifuta.
Baada ya Serikali kupitia Waziri wa Fedha kutangaza kuwa kuanzia sasa hakutakuwepo ada kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2022/2023 sisi wazazi katika kumwandaa mtoto na mahitaji yake tumepambana na kipengele cha ada katika fomu za kujiunga.
Baada ya kuhoji uongozi wa shule wanasema kuwa bado hawajapata Waraka wa Serikali, hivyo tumetakiwa kulipa ada kawaida.
Tuiombe Serikali kupitia Wizara ya Elimu kulisimamia hili ili turejeshewe ada tuliyolipa ambayo serikali imeishaifuta.