Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu,
Leo alfajili kulikuwa pambano la Mayweather na Logan limechezwa leo kwa idadi ya round 8, na hakukuwa na mshindi, ni kama ilikuwa ni exhibition match tu.
Makubaliano ya pambano lao ilikuwa round za dkk 3-3, hakukuwa na mshindi anaetangazwa, pambano lao halikuwa na judges.
Na Mayweather alishapewana advance ya m.30us$ kbla ya pambano. Nilichokiona ni kwamba, Logan isn't doing it for respect, he's doing it for money. If he wanted respect he would turn pro and fight real fighters in his own weight class and if he beat them he would automatically get respect.
Na Logan alichokosea ni kupiga ngumi hovyo hovyo. Karusha ngumi 217 na ngumi nilizobeba point nyingi ni 28 tu
Wakati floyd karusha ngumi 107 na ngumi zilizochukua point nyingi ni 43
Nadhani Logan sio bondia,
And this was not a boxing match, it was an exhibition fight
Boxing ina sheria zake
Leo alfajili kulikuwa pambano la Mayweather na Logan limechezwa leo kwa idadi ya round 8, na hakukuwa na mshindi, ni kama ilikuwa ni exhibition match tu.
Makubaliano ya pambano lao ilikuwa round za dkk 3-3, hakukuwa na mshindi anaetangazwa, pambano lao halikuwa na judges.
Na Mayweather alishapewana advance ya m.30us$ kbla ya pambano. Nilichokiona ni kwamba, Logan isn't doing it for respect, he's doing it for money. If he wanted respect he would turn pro and fight real fighters in his own weight class and if he beat them he would automatically get respect.
Na Logan alichokosea ni kupiga ngumi hovyo hovyo. Karusha ngumi 217 na ngumi nilizobeba point nyingi ni 28 tu
Wakati floyd karusha ngumi 107 na ngumi zilizochukua point nyingi ni 43
Nadhani Logan sio bondia,
And this was not a boxing match, it was an exhibition fight
Boxing ina sheria zake