"Vita vya kesho yako; Hag 2:9"
Mungu akitaka kukufanikisha anakuletea wazo kama mbegu/wazo la kukufanikisha.
-Wazo lolote la kukufanikisha Lina vita vyake,
-Adui akitaka kupambana na kesho yako atapambana na wazo lolote la kukufanikisha.
-Njia moja wapo ya Adui kupambana na wewe ni kupambana na wazo alilokuletea Mungu la kukufanikisha hivyo Adui anafanya yafuatayo;
Anazuia usisikie hata Mungu akikusemesha.
Anazuia usielewe
Anazuia usitii
Anaondoa utayari wa kulifuatilia na kulitendea kazi lile wazo.
Unapoona uzito wa kutekeleza jambo fulani ujue hilo jambo limebeba kesho yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.