Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,120
- 829,008
Usione aibu kwa HUSTLE zako. kuuza nguo, kuuza chakula, kuuza vipodozi, kuuza kuku, kuuza chaja za simu, kufanya kilimo, kufanya muziki, kuwa mchekeshaji nk.
Usione aibu jinsi unavyotengeneza pesa, Ni njia ya kujikimu. Usiruhusu kazi/hustle zako zikunyime furaha yako. Unafanya kazi ili uishi huishi ili ufanye kazi. Usione aibu, watu hawatakulipia bili zako au kukulisha au kukununulia nguo.. ukiwaendekeza hustle zako zitakushinda.
Kumbuka: Una bili za kulipa na familia ya kulisha sio jamii ya kufurahisha.
Changamkia dili hizo maana The end justifues the means.. Mwisho wa siku utaangaliwa una nini kibindoni..!
Usione aibu jinsi unavyotengeneza pesa, Ni njia ya kujikimu. Usiruhusu kazi/hustle zako zikunyime furaha yako. Unafanya kazi ili uishi huishi ili ufanye kazi. Usione aibu, watu hawatakulipia bili zako au kukulisha au kukununulia nguo.. ukiwaendekeza hustle zako zitakushinda.
Kumbuka: Una bili za kulipa na familia ya kulisha sio jamii ya kufurahisha.
Changamkia dili hizo maana The end justifues the means.. Mwisho wa siku utaangaliwa una nini kibindoni..!