Kula like mkuu, umefanikiwa kuwa mtu wa kwanza kunichekeshaNilikuja huko kwenu leo jioni ila sikuona hiyo michepuko uliyosema….yaani najuta kwanini nilikuja.
hapana mkuu, sisi sio kama sound wengine
Android radio ya nisan xtrail 2005 ni 450 tu mkuu pamoja na vat
Ili mziki unoge Happ inabidi na booster, amplifier ifungwe? Na je hivi vina gharama zake ktk huo mziki mzuri was laki 70?spika za nyuma zpo mkuu
mziki mzuri unaazia 170k/200/250 mpaka wa 500 upo mkuu
KARIBU
mziki wa mia 70 una booster yaake ndani kwa ndani, tunaufanyia tu setting pamoha na twitaIli mziki unoge Happ inabidi na booster, amplifier ifungwe? Na je hivi vina gharama zake ktk huo mziki mzuri was laki 70?
Nitakutembelea na glanzia yangu soonmziki wa mia 70 una booster yaake ndani kwa ndani, tunaufanyia tu setting pamoha na twita
Aina nyingine ya mziki ina booster za kufunga pembeni/separate, Hizi zinatoa mziki mnene pia
Pamoja na ufundi njoo na 250 mkuuNataka muziki mzuri kwenye daladala yangu niandae kama sh ngapi Kwa kila kitu pamoja na ufundi?
karibu mkuu utanikutaNitakutembelea na glanzia yangu soon
Nitapita hapo mkuu, hongera sana kwa kuweka wazi bei zako. Hiyo ndio biashara.spika za nyuma zpo mkuu
mziki mzuri unaazia 170k/200/250 mpaka wa 500 upo mkuu
KARIBU
300 hailipi boss ila kwa sababu natafuta pesa potelea mbali 420 pamoja na ufundiSasa sikiliza, habari za vat mimi sizitaki, nnchotaka ni radio ya Android na kuna 300k hapa kama inalipa nichekimkuu
Nataka android not otherwise300 hailipi boss ila kwa sababu natafuta pesa potelea mbali 420 pamoja na ufundi
ila redio nyingine za kuona pia zinapatikana kwa beiya chini kidogo
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
VAT huwezi kuikataa hadharani hivi, unamponza mwenzio.Sasa sikiliza, habari za vat mimi sizitaki, nnchotaka ni radio ya Android na kuna 300k hapa kama inalipa nichekimkuu