Mkuu,Watanzania kwa kupenda kupokea bila kuvitolea jasho tu hodari mno, ndiyo maana DECI, Qnet, Forever, Namaingo, wazee wa tuma wenye namba hii, jina itatokea lile, hawawezi kuisha.
Everyday is Saturday................................😎
Umemaliza.Kusema kweli ilo neno ndio nimelisikia leo. Pamafund. Nikajua umekosea kutype, nika Google.
Nanukuu.
KAMPUNI YA UHAKIKA PAMA FUNDS
Ni kampuni inayolipa faida ya uhakika, kazi yako ni kuweka pesa yako na unalipwa kwanzia 2% hadi 4% kila siku kutegemeana na mtaji uliowekeza
Company ya pama funds inafanya biashara kwenye sector tano gold, Forex, oil, bonds, crypto
Mwisho wa kunukuu.
Yaani naweka hela ili nipewe hela. Hii biashara bado kuna watu wanafanya?
Siifahamu ndiyo nimeiona hapa, ila kwa hiyo business plan ya weka hela upewe hela kila siku, ni dhahiri ni Upatu, ponzi scheme na imefeli kama DECI.Mkuu,
Nini kimetokea pama fund??






hela za kudownload zipo kwenye akili hapohakuna hela za kudownload duniani...
hela inatafutwa kwa kufanya kazi kwa bidii sana, either utese mwili au utese akili...
Kimeumana 🙆♂️🤦♂️🤷♂️🤧🤭🤫 salaaleh!Watu anatapatapa huko ,wakati walikuwa wanasema wanatengeneza hela wamelala ,sisi ambao tunatembeza vyombo walituona hatuna akiliView attachment 1819092
Itakua wamepigwaTayari nini mkuu??
Kama una taarifa yoyote naomba utuambie
Hiyo ndiyo taarifa yenyewe kuwa wameshapigwa.Tayari nini mkuu??
Kama una taarifa yoyote naomba utuambie
Tayari nini mkuu??
Kama una taarifa yoyote naomba utuambie
You are right, no easy money. Soon some will cry.I smell a rat