Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 370
- 611
Hahahahaaa! 


Ulijiunga?I learned the hard way, I paid the cost…. NEVER AGAIN.![]()
Ulijiunga?
Sio huko, ila niliwahi kupigwa namna hiyo… never again.



mm tangu 2019 washkaji walilizwa. Walinushawishi sana nikawaambia wanikopeshe wakazingua.Pole sana!Itoshe kusema tu pole saaanaaa!Wakuu,
Samahani kwa yeyote mwenye taarifa juu ya pamafund naomba atupatie...
Kwa maana yale matangazo tuliyokuwa tunasumbuliwa nayo WhatsAap hatuyaoni tena..
Je nini kimetokea??
Hakikahakuna hela za kudownload duniani...
hela inatafutwa kwa kufanya kazi kwa bidii sana, either utese mwili au utese akili...

Bro hapo ilikuwa ni nyamongo muda huo wa miaka 2007/10 wamura walikuwa wakkvamia pale mzungu alipochimba. Fuatilia history ya nyamongo miaka iyo. Wewe unajua ni porojo. So nikuambie uwongo ama ukweli utaniongezea Nini ukubali ama ukatae.take it or leave am still be where am be right now.HAKUNA MGODI WOWOTE WA KUCHIMBA KIDOGO UKAIBUKA NA MALI; HACHANA NA POROJO ZA VIJIWENI. PRINCIPLE BADO IKO PALE PALE; either utese mwili au utese akili.
Wanaugulia kmya kimyaYou are right, no easy money. Soon some will cry.
Narudia itoshe tu kukupa pole!Kumbuka hakuna tajiri aliyewahipatikana kwa njia hiyo!PoleeeeeeeMkuu,
Pole ya nini???
Pama fund iliota mabawa?Narudia itoshe tu kukupa pole!Kumbuka hakuna tajiri aliyewahipatikana kwa njia hiyo!Poleeeeeee