Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,480
- Thread starter
- #21
We mtu waajabu sana!
kinachoangaliwa hapa ni ubinadamu sio ubaguzi, picha kama hizi hazionyeshwi BBC, CNN wala Fox. walaaniwe wauwaji wote regardless, lakini sio kutetea unyama kwa sababu kafanya mtu mweupe against mwarabu.
Kama mataifa makubwa yanayodai yameendela wanauwa watu namana hii lazima yalaaniwe afterall wamekalia nchi ya watu na kupinga azimiao la UN linalowataka waondoke
Mtu yoyote akivamiwa laziama ata-retaliate ndivyo wanvyo fanya Hamasa na freedomfighters wengine.
You are correct,
Iko siku wapalestine watapata uhuru wao, tuwaombee tu.
Watu wengi hawajui kuwa kuna asalimia kubwa sana ya wapalestine ni wakristo! wao pia wametawaliwa na Israel