Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Mkuu mpaka simu inafutika buttons zote ni kuwa unapractice theories za economics?Huyo kilaza mimi yangu imefutika lakini najua button zote ziko wapi....!
Mkuu mpaka simu inafutika buttons zote ni kuwa unapractice theories za economics?Huyo kilaza mimi yangu imefutika lakini najua button zote ziko wapi....!
Nime-create very strong bond na hii simu....labda mtu aniibie ndio nitanunua ingine.Mkuu mpaka simu inafutika buttons zote ni kuwa unapractice theories za economics?
Ndugu sina ugomvi na wewe.. Una uhakika...Mwenye hii simu atakuwa na elements za kipareee.
Cc Evelyn Salt hahahhaa mchambuzi wa makabila
Ndio ninazo ulikuwa una sema je?Na wewe una element za uchochezi, ukabila na uvunjifu wa amani

Nilikua nasema una element za uchochezi, uvunjifu wa amani na ukabilaNdio ninazo ulikuwa una sema je?![]()
![]()
wazee wa town au sio.kweli jukwaa LA wazee ili
Umebandika karatasi juu ya keybord maana hayo maandishi kwa nyuma kuna mwinuko unaonekana umesukuma hayo maandishi
Tecno wakimuona atapewa smartphone ya buree kabisa,