Wandugu,nna madish 2ya ft 6,na receiver ya strong 4653x,nataka kuset satellite hizo hapo,naanzaje?mi najua tu dstv ipo 36'E,na hiyo paksat iko karibu yake au?na vp kuhusu amos 5,nani amewahi kuipata au kuitumia?maji yamezid unga na mimi nna ham ya ugali sitaki uji jamani