Paka mzuri ni mweupe au mweusi? Lowasa, CCM, CHADEMA na rangi ya paka!

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,351
9,837
Mandela aliwahi kusema, wakati wa harakati za ukombozi kuwa, wa Afrika kusini hawachagui rangi ya paka, paka mzuri si mweusi au mweupe, paka mzuri ni yule anayekamata panya.

Je Lowasa ni mtu sahihi kuwa rais?
Kwanini awe mpinzani sasa?
Je Lowasa ni fisadi?
Na mengineyo mengi!

Lowasa ni paka atakaye tukamatia panya - CCM 2020 Mungu akimpa nguvu.

Wapinzani tunapaswa kujua juu ya demokrasia ya nchi hii kuliko CCM, tunapaswa kujua kuhusu katiba ya nchi hii kuliko CCM, tunatakiwa kusikilizwa juu ya uminywaji wa haki katika nchi hii kwasababu katika yote, sisi tumeumia zaidi kwakuwa ndio tuliopigana zaidi!

Aluta continua
Victoria ascerta!
 
Mi sijakuelewa.
Ngoja niwasubiri wadau wachangie labda nitapata kitu
 
Mandela aliwahi kusema, wakati wa harakati za ukombozi kuwa, wa Afrika kusini hawachagui rangi ya paka, paka mzuri si mweusi au mweupe, paka mzuri ni yule anayekamata panya.

Je Lowasa ni mtu sahihi kuwa rais?
Kwanini awe mpinzani sasa?
Je Lowasa ni fisadi?
Na mengineyo mengi!

Lowasa ni paka atakaye tukamatia panya - CCM 2020 Mungu akimpa nguvu.

Wapinzani tunapaswa kujua juu ya demokrasia ya nchi hii kuliko CCM, tunapaswa kujua kuhusu katiba ya nchi hii kuliko CCM, tunatakiwa kusikilizwa juu ya uminywaji wa haki katika nchi hii kwasababu katika yote, sisi tumeumia zaidi kwakuwa ndio tuliopigana zaidi!

Aluta continua
Victoria ascerta!
Kama ww nae n uwakilishi wa mawazo ya upinzani basi CCM ina karne zake kadhaa za kuendelea kuongoza
 
Mandela aliwahi kusema, wakati wa harakati za ukombozi kuwa, wa Afrika kusini hawachagui rangi ya paka, paka mzuri si mweusi au mweupe, paka mzuri ni yule anayekamata panya.

Je Lowasa ni mtu sahihi kuwa rais?
Kwanini awe mpinzani sasa?
Je Lowasa ni fisadi?
Na mengineyo mengi!

Lowasa ni paka atakaye tukamatia panya - CCM 2020 Mungu akimpa nguvu.

Wapinzani tunapaswa kujua juu ya demokrasia ya nchi hii kuliko CCM, tunapaswa kujua kuhusu katiba ya nchi hii kuliko CCM, tunatakiwa kusikilizwa juu ya uminywaji wa haki katika nchi hii kwasababu katika yote, sisi tumeumia zaidi kwakuwa ndio tuliopigana zaidi!

Aluta continua
Victoria ascerta!
Aluta continua
Vitoria ascerta ...

Una maana gani hapo?
Kama ww nae n uwakilishi wa mawazo ya upinzani basi CCM ina karne zake kadhaa za kuendelea kuongoza
 
Mandela aliwahi kusema, wakati wa harakati za ukombozi kuwa, wa Afrika kusini hawachagui rangi ya paka, paka mzuri si mweusi au mweupe, paka mzuri ni yule anayekamata panya.

Je Lowasa ni mtu sahihi kuwa rais?
Kwanini awe mpinzani sasa?
Je Lowasa ni fisadi?
Na mengineyo mengi!

Lowasa ni paka atakaye tukamatia panya - CCM 2020 Mungu akimpa nguvu.

Wapinzani tunapaswa kujua juu ya demokrasia ya nchi hii kuliko CCM, tunapaswa kujua kuhusu katiba ya nchi hii kuliko CCM, tunatakiwa kusikilizwa juu ya uminywaji wa haki katika nchi hii kwasababu katika yote, sisi tumeumia zaidi kwakuwa ndio tuliopigana zaidi!

Aluta continua
Victoria ascerta!
Aluta continua
Victoria ascerta

Una maana gani hapo?
 
Paul, nikisoma maandishi yako , nakuona u- miongoni mwa vijana wenye akili katika taifa hili. Hapa ulichokiandika nimekuelewa vizuri sana. Sanaa yako ya uandishi inavutia , kwani wewe na Ben sanane ni ndugu?

Usinielewe vibaya mkuu, mimi nauliza tu..... any way nikupongeze tu kwa kipaji ulichojaliwa.
 
Paul, nikisoma maandishi yako , nakuona u- miongoni mwa vijana wenye akili katika taifa hili. Hapa ulichokiandika nimekuelewa vizuri sana. Sanaa yako ya uandishi inavutia , kwani wewe na Ben sanane ni ndugu?

Usinielewe vibaya mkuu, mimi nauliza tu..... any way nikupongeze tu kwa kipaji ulichojaliwa.
Nashukuru mkuu, Ben ni mwanachama mwenzangu na kiongozi wangu. Sijawahi kuonana nae uso kwa uso zaidi ya kwenye picha na maelezo ya kichama!

Mkuu karibu tukomboe nchi yetu!
 
Back
Top Bottom