wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Acha mawe tu mi nawabutuaga Paka kwa Sana tu yaani Ile Kinyama.Na Nina utu kishenzi kwny mambo ya msingi lkn sio utu wa kubebishana na wanyama wakuda Kama Paka kisa tu wazungu wanaamini nikipendwa na wanyama nakua na roho nzuri automatically.Kuna kipindi niliona rais wa Ireland anahojiwa nje ya nyumba yake uwanjani anakocheza na mbwa. Rais yuko anahutubia mbwa yuko anamvuta anamuonesha mpira ili wacheze, rais hakumfukuza wala kukerwa na raia walipenda.
Raia wanajua yule mbwa wa rais wao ana wivu hata wakija wageni wa kimataifa hapendi wapewe attention zaidi yake. Anataka yeye ndio awe karibu na rais. Wazungu wanaamini ukipendwa na wanyama unakuwa na roho nzuri. Huwezi kuwa unapiga mawe mbwa ukawa na utu. Humanity inaakisiwa kwa unavyowatreat wanyama