May beUtakuta ni Shoga
Mwanasheria nguli na msomi Tundu Lissu anaweza kutusaidia
Hana mapenzi bali hizo faranga ndo zinakuchanganya....Kama unataka kuoa paka nenda Muhimbili ya zamani ungewakuta wengi Sana chaguo lako tu.
Sasa mi nioe paka fala!?Hana mapenzi bali hizo faranga ndo zinakuchanganya....Kama unataka kuoa paka nenda Muhimbili ya zamani ungewakuta wengi Sana chaguo lako tu.
Mbona kwenye habari yenyewe imeelezewa vizuri tu kwamba huyo paka ni miongoni mwa warithi wengine na kwamba kila mrithi kaachiwa mali ya kutosha? Hii inamaanisha kwamba kuna watu wanafamilia katika hilo kundi la warithi.Hivyo huyu mzee hakuwah kuoa wala kuwa na watoto na hana ndugu duuh hii kitu inanifanya nikumbuke ule usemi ;heri kuzaliwa mbwa ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Lumumba fc buku 7 urithi wenu unakuwaga upi??Mwanasheria nguli na msomi Tundu Lissu anaweza kutusaidia
usituondoe kwenye reli...
Wewe mrembo hapo hakuna reli wala nyotausituondoe kwenye reli...
Wewe ndo unataka kutuondoa kwenye reli na vihabari vya kuokoteza. Mmetuvuruga kwenye Korosho mnatuletea habari za Paka wa mzungu anatusaidia nini sisi wa Nanjilinji tuliorudishiwa Korosho zikiwa zimeshaota?usituondoe kwenye reli...
Haya ndio madhara ya kutokusoma mpk mwishoMbona kwenye habari yenyewe imeelezewa vizuri tu kwamba huyo paka ni miongoni mwa warithi wengine na kwamba kila mrithi kaachiwa mali ya kutosha? Hii inamaanisha kwamba kuna watu wanafamilia katika hilo kundi la warithi.
mpaka leo hamjalipwa kwani?Wewe ndo unataka kutuondoa kwenye reli na vihabari vya kuokoteza. Mmetuvuruga kwenye Korosho mnatuletea habari za Paka wa mzungu anatusaidia nini sisi wa Nanjilinji tuliorudishiwa Korosho zikiwa zimeshaota?
Sent using Jamii Forums mobile app