Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,668
- 4,885
Yule msema uongo wa Serikali haramu amedai kutangaza vifo hairuhusuwi kuna mamlaka husika ya kutangaza vifo. Tujiulize Watanzania ni vifo vingapi vya hii COVID-19 vimeshatangazwa na hii Serikali haramu? Jibu wote tunalijua.
Hahaaaaaa yule msemauongo wao hahaaaaaaaaa , ana PHd ambayo Kafundishwa na Kitima leo anadai Kitima hana Mamlaka , Matumbo haya , sawa bana ngoja tuone watakakoishia maana kwa sasa wako karibu na Mungu wao anayependa kutukuzwa Mungu wa Kabudi