Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,566
- 2,060
Mtu mmoja alimuuliza mtoto 'mwanangu unaijua njia ya Posta'? Mtoto akajibu 'Nenda moja kwa moja mpaka njia panda fuata kulia' . Mtu yule akamshukuru mtoto kisha akamwambia' Mimi ni Padri mpya hapa mjini , ukija Kanisani Jumapili nitakuonesha njia ya PEPONI'. Mtoto akacheka sanaaa akamwambia' Njia ya Posta huijui, utaijua njia ya Peponi!!!