The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
Hakika yajayo yanafurahisha. Kumeanza kupambazuka na giza linaanza kutoweka taratibu....
Sikiliza namna Padre Mchunguzi anavyomkosoa Rais Samua katika namna ya kumuona mtu asiye na ufahamu na uelewa kabisa. Na possibly ndivyo ilivyo...
Anasema;
"...Juzi hapa nilimsikia Rais akisema, ooh viongozi wa dini msidandie ajenda za kisiasa. Nilimtazamaaaa, nikamwangaliaaa, nikasema hivi huyu mama vipi lakini? Tusidandie ajenda za kisiasa wakati waumini wetu wengine ni wanasiasa na wapiga kura...??"
Hebu fuatilia video hii ambayo quality yake sio nzuri kidogo, lakini ujumbe unafika kwa usawia wake...
Sasa kunaanza kupambazuka, giza linatoweka...
Yajayo yanafurahisha...
Sikiliza namna Padre Mchunguzi anavyomkosoa Rais Samua katika namna ya kumuona mtu asiye na ufahamu na uelewa kabisa. Na possibly ndivyo ilivyo...
Anasema;
"...Juzi hapa nilimsikia Rais akisema, ooh viongozi wa dini msidandie ajenda za kisiasa. Nilimtazamaaaa, nikamwangaliaaa, nikasema hivi huyu mama vipi lakini? Tusidandie ajenda za kisiasa wakati waumini wetu wengine ni wanasiasa na wapiga kura...??"
Hebu fuatilia video hii ambayo quality yake sio nzuri kidogo, lakini ujumbe unafika kwa usawia wake...
Sasa kunaanza kupambazuka, giza linatoweka...
Yajayo yanafurahisha...