PostGE2025 Padre Kitima: Mwenye dhamana kwa yaliyotokea yupo, awajibike!

PostGE2025 Padre Kitima: Mwenye dhamana kwa yaliyotokea yupo, awajibike!

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, akizungumza na vyombo vya habari leo Desemba 1, 2025, amesema kuwa matukio yaliyotokea nchini hivi karibuni wakati wa uchaguzi siyo ya kwanza katika historia ya Tanzania. Amesisitiza kwamba mwenye dhamana juu ya yaliyotokea anapaswa kuwajibika pamoja na wasaidizi wake, na akiri kuhusu mauaji yaliyofanyika.

" Mwenye dhamana yaliyotokea yupo awajibike na msaidizi wake na wa chini yake, na wale wakiwajibika wataponya nchi na watarudisha heshima kimataifa lakini kuwajibika kwa mtu wa chini kama huyu wa juu hataki kukiri ukweli ni tatizo"- amesema Padre Kitima

 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, akizungumza na vyombo vya habari leo Desemba 1, 2025, amesema kuwa matukio yaliyotokea nchini hivi karibuni wakati wa uchaguzi siyo ya kwanza katika historia ya Tanzania. Amesisitiza kwamba mwenye dhamana juu ya yaliyotokea anapaswa kuwajibika pamoja na wasaidizi wake, na akiri kuhusu mauaji yaliyofanyika.

" Mwenye dhamana yaliyotokea yupo awajibike na msaidizi wake na wa chini yake, na wale wakiwajibika wataponya nchi na watarudisha heshima kimataifa lakini kuwajibika kwa mtu wa chini kama huyu wa juu hataki kukiri ukweli ni tatizo"- amesema Padre Kitima
Anamaanisha nani?!
 
This guy is parasite need to be neutralised
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, akizungumza na vyombo vya habari leo Desemba 1, 2025, amesema kuwa matukio yaliyotokea nchini hivi karibuni wakati wa uchaguzi siyo ya kwanza katika historia ya Tanzania. Amesisitiza kwamba mwenye dhamana juu ya yaliyotokea anapaswa kuwajibika pamoja na wasaidizi wake, na akiri kuhusu mauaji yaliyofanyika.

" Mwenye dhamana yaliyotokea yupo awajibike na msaidizi wake na wa chini yake, na wale wakiwajibika wataponya nchi na watarudisha heshima kimataifa lakini kuwajibika kwa mtu wa chini kama huyu wa juu hataki kukiri ukweli ni tatizo"- amesema Padre Kitima

100%upo sawa.
 
Back
Top Bottom