Pacha wangu mcharuko

Pacha wangu mcharuko

golden girl

Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
66
Reaction score
2
Tumezaliwa mapacha tunaofanana sana kiasi kwamba hata marks zetu darasani zinakaribiana sana.

Tunapendana sana lakini tatizo huyu mdogo wango (Dotto) kila napokuwa na uhusiano na mwanaume na yeye pia anamtaka huyo huyo, atafanya juu chini mpaka ata*** naye.

Mbaya zaidi wanaume inawachukua muda sana kututofautisha na hapo ndipo twin wangu anachukua nafasi.

Nifanyeje jamani?
 
So far umeshakuwa nao wangapi na kati ya hao amekuingilia kwa wangapi?

 
Jitoe muhanga kwa kujiweka alama mkononi au popote panapoonekana ambayo itakutofautisha na Dotto. Kuhusu tabia zake mshauri aache huku ukimuusia madhara ya kuwa mcharuko.

Ngoja niwapishe wenzangu nao wakupe mbinu.
 
Na yule mwenye tabia ya kuzini na wanaume wenzake nae yumo kwenye list ya waliolala na Dotto?
 
Umesema ninyi ni mapacha,na mnakaribiana almost hata akili na kwamba kila ukichukua bwana na yeye anamtaka huyo huyo hii ikiwa na maana akishachukua unamwachia unasonga mbele! Sasa basi,unatuthibitishiaje kwamba wewe si mcharuko na kwamba mdogo wako ndiye mcharuko?

Kwa Mathematicians watakuambia, ikiwa umemchukua mwanaume X na doto akamtaka ina maana utamwachia ukaongeze mmoja i.e,( X + 1) Doto akikusogelea utamwachia ( X + 1) utasomeka (X+1) + 1 na kuendelea kwa maana hiyo kajipange tena ama uedit post yako kwa kuwa kimahesabu wewe ndiye utakuwa mcharuko!
 
Hizi porojo zenu sijui mtaacha lini...kila siku vihadithi vya kutunga tunga tu!!!
 
...olewa,mume hawezi kukusahau...
 
tumezaliwa mapacha tunaofanana sana kiasikwamba hata marks zetu darasani zinakaribiana sana.tunapendana saaana. lakini tatizo huyu mdogo wango (doto) kila napokuwa na uhusiano na mwanaume na yeye pia anamtaka huyo huyo, atafanya juu chini mpaka ata............ naye. mbaya zaidi wanaume inawachukua muda sana kututofautisha na hapo ndipo twin wangu anachukua nafasi.nifanyeje jamani?????
angalizooooo: ni ushauri tu unahitajika ndugu zangu wapenzi na sio kejeri na matusi
Hivi kwanini we muongo muongo!
 
Huo ndio mwanzo wa kuambukizana magonjwa bila nyie wenyewe kujua. Chukueni hatua za tahadhari yanayokuja mbele yenu ni makubwa zaidi ya mnavyofikiri.
 
Hiyo ndiyo tabia ya IDENTICAL TWINS. Apendacho mmoja na mwingine hupenda. Siyo mcharuko, ni biological phenomenon. Mbona hajavamia wanaume wa wasichana wengine?
 
kwa staili hii utamaliza wanaume wote , na je una uhakika gani kama huchangii na doto wa MBAGALA AU KULEE KINYEREZI?
 
Halafu...si ulisema unaolewa week hii so doto analala na mumeo mtarajiwa..vipi maandalizi ya harusi...na je mama mkwe sio pasua kichwa tena..na huyo mumeo mtarajiwa ameacha kukutesa....u r contradicting urself gal
 
Back
Top Bottom