Unafanya masihara nn kualikwa na p square??,kwanza amualike kama nani labda??,angekuwa katoka bongo kwenda uko kwa ajili ya hyo harusi apo sawa, ila uko alienda kufanya muzik na davido sijui ndo hayo mambo yakatokea,so it was coincidence unafanya utani nn kualikwa na ma fogo wa africa??,asitake kiki za ajabu na yeye