kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
*Kondakta *: Kaa mkao wa pesa.
*Abiria *: Si tumetosha? Twende basi!
*Kondakta*: Tunafanya kazi kwa hesabu mama mdogo.
*Abiria*: Hebu twendeni. Kuna watu huko mbele.
*Kondakta*: Kama una haraka ungeenda toka juzi. Tuko kazini hapa.
*Mpiga debe*: Wenye haraka wanaonyesha. Wenye haraka huchukua teksi.
*Abiria*: Tukichukua teksi mtakula wapi. Hebu acheni dharau. Twendeni, gari
si imejaa?
*Mpiga debe*: Jamani, mchuma haujai. Inayojaa ni ndoo ya maji. Haya,
Kariakoo, Kariakoo... gari nyeupe hii.
*Abiria *: Si tumetosha? Twende basi!
*Kondakta*: Tunafanya kazi kwa hesabu mama mdogo.
*Abiria*: Hebu twendeni. Kuna watu huko mbele.
*Kondakta*: Kama una haraka ungeenda toka juzi. Tuko kazini hapa.
*Mpiga debe*: Wenye haraka wanaonyesha. Wenye haraka huchukua teksi.
*Abiria*: Tukichukua teksi mtakula wapi. Hebu acheni dharau. Twendeni, gari
si imejaa?
*Mpiga debe*: Jamani, mchuma haujai. Inayojaa ni ndoo ya maji. Haya,
Kariakoo, Kariakoo... gari nyeupe hii.