Overstay in you're visitor visa

Nina mke na mtoto ni lazima niludi

Mkuu nahisi sijakuelewa vizuri nieleweshe

1.Una mke na mtoto wako sauzi (mke ni mtanzania) kwahyo ulikuwa unakaa illegally na umeoverstay sasa unataka urudi bongo then uende sauzi ili upate permit wewe na wife ili mkae kwa uhuru si ndio?

2.Au mke ni msauzi, na maelezo kama nilivyoandika hapo juu

Nataka nielewe ili tujue tunakushaurije
 
Mkuu nahisi sijakuelewa vizuri nieleweshe

1.Una mke na mtoto wako sauzi (mke ni mtanzania) kwahyo ulikuwa unakaa illegally na umeoverstay sasa unataka urudi bongo then uende sauzi ili upate permit wewe na wife ili mkae kwa uhuru si ndio?

2.Au mke ni msauzi, na maelezo kama nilivyoandika hapo juu

Nataka nielewe ili tujue tunakushaurije
Mke ni msauzi
 
Sasa waki exit stamp je ile overstay wata clear?

Ukitoa hela/wazee wa dili watakugongea kama nomo exit ila ukifuata sheria zao za kulipa kwenye serikali lazima wapige overstay. na ukirudi itakubana.

Ndo mana nimekupa option hii
Wewe nenda wakikugongea overstay achana nao wewe rudi home pata loss report chukua new passport halafu mwambie mke wako akutumia invitation letter pamoja na copy ya kitambulisho chake/passport yake kama anayo( au wakati unarudi bongo unaweza ukabeba details za wife kwenye begi,

Then baada ya muda ukitaka kurudi sauzi we unatakiwa uvuke kutoka upande wa zimbabwe kwenda sauzi (beit bridge )usiku gonga viza usiku ndo huwa hawazingatii kucheki kwenye systems.

Jumuika na familia yako, kisha wife baada ya muda ambatana na wife wako na cheti cha ndoa ili wewe mtanzania/mume upate permit au kuonba uraia.

Hii ishue si ya kuwaza cha msingi safiri na hela.

hapo beitbridge kuna rushwa ya kufa mtu.

anyway kama unafikia maeneo ya Boxate(Zambian city in sauzi) wape salamu
 
Ukitoa hela/wazee wa dili watakugongea kama nomo exit ila ukifuata sheria zao za kulipa kwenye serikali lazima wapige overstay. na ukirudi itakubana.

Ndo mana nimekupa option hii
Wewe nenda wakikugongea overstay achana nao wewe rudi home pata loss report chukua new passport halafu mwambie mke wako akutumia invitation letter pamoja na copy ya kitambulisho chake/passport yake kama anayo( au wakati unarudi bongo unaweza ukabeba details za wife kwenye begi,

Then baada ya muda ukitaka kurudi sauzi we unatakiwa uvuke kutoka upande wa zimbabwe kwenda sauzi (beit bridge )usiku gonga viza usiku ndo huwa hawazingatii kucheki kwenye systems.

Jumuika na familia yako, kisha wife baada ya muda ambatana na wife wako na cheti cha ndoa ili wewe mtanzania/mume upate permit au kuonba uraia.

Hii ishue si ya kuwaza cha msingi safiri na hela.

hapo beitbridge kuna rushwa ya kufa mtu.

anyway kama unafikia maeneo ya Boxate(Zambian city in sauzi) wape salamu
Ok kaka asante maana kuna jamaa amenitisha kuwa pale huwa ma officer wanatoaga mihuri fake na kwenye system huwa hawafuti overstay ila labda nitoe chochote SA embassy
 
Maana kwenye kupata electronic passport i have also to show them prev passport inorder to proof i was stay at their country for relationship purposes
 
Dr Matola PhD mtu wako kakamatika, hayuko bahamas yupo kwenu South Africa
My wife She have dual citizenship USA and Bahamas so i want to get spouse visa in order to qualify green card id in US so this what you want to hear am not in SA this is another thread to get more information
 
Sikuwa na work permit i was work as illegal immigrant je hao watu wa beitbridge boda watafuta overstay au watanipa tu departure stamp only?
Hii unaikumbuka
My wife She have dual citizenship USA and Bahamas so i want to get spouse visa in order to qualify green card id in US so this what you want to hear am not in SA this is another thread to get more information
Na sasa hii, basi wewe unafurahisha genge hapa JF
 
My wife She have dual citizenship USA and Bahamas so i want to get spouse visa in order to qualify green card id in US so this what you want to hear am not in SA this is another thread to get more information

we jamaa mbona muongo hivi?

Napoteza muda wangu kutype mambo kumbe hauko hata huko sauzi au?

umesema mke ni msauzi tena hapa unasema ni USA na Bahamas
 
Back
Top Bottom