Kisali.TechnitianJr.
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 592
- 183
Narudia tena wewe ni technician njaa!
Ni neno lipi sahihi kati ya TECHNICIAN na TECHNITIAN ????
Halafu kama, hujui ni vizuri kukaa kimya kuliko kuhadaa umma.
sawa kabisahii topic kila kukicha inanzishwa, halaf natoka kappa
sasa correct me if am wrong: Ile taa kwenye dashbod haitakiwi iwepo ili u-save mafuta, sawa au sio sawa?
Naommba jibu liwe tu sawa au sio sawa ili musiendeleee kunichanganya
Jitahidi hapo kwa upande wa kulia usiwe unavuka vuka sana hadi namba tatu kwa safari ya mbali, vinginevyo utakuwa unatumia mafuta mengi sana kwa kilomita,maili chache
Asanteni kwa
kutuelimisha matumizi ya over drive. Je hii D2 inatumika wakati gani? Na
unavyotumia hiyo D2 over drive iwe OFF au ON?
Naomba kuwakilisha hoja.
kwa kuongezea hapo kuna D,2,L je niwakat gan natakiwa kutmia 2 na L?
kumbe ila nikifanya hivyo si hata Alteza zinanipita na kunidharau BMW X5 ?? :shocked:
Hii topic kila kukicha inanzishwa, halaf natoka kappa
Sasa correct me if am wrong: ILE TAA KWENYE DASHBOD HAITAKIWI IWEPO ILI U-SAVE MAFUTA, sawa au sio sawa?
Naommba jibu liwe tu SAWA aU SIO SAWA ili musiendeleee kunichanganya
Kwa maneno rahisi ni kwamba unapoona ile sign ya OD/OFF kwenye dashboard yako manake inakuelekeza kwamba unaendesha gari yako kwenye OD na kama hutumii hiyo OD you just put if OFF kwa kubonyeza kitufe cha OD na hiyo taa iliyokuwa inawaka kwenye Dashborad itazima kuashiria kwamba hutumii hiyo OD.Kwa hiyo hayo maneno OD/OFF ni agizo la kukutaka kutoa OD kama huitumii.Hiyo unaweza kuifananishA na taa ya OIL au FUEL inapowaka manake ni kwamba oil au Fuel imepungua,na dawa pekee ya kuondoa hiyo taa isiwake kwenye Dashbord ni kuongeza Oil au Fuel
Kama unapenda mibio kamua baba, ila hapo nilipotaja mimi spidi 120 ndio ya kiusalama zaidi, kama unajali maisha yako, familia n.k
Sawa kiafya gonga hadi kwenye (4) au zaidi ya hapo kidogo sio mbaya
Na hiyo x5 nina uhakika kila ukikanyaga unaona hamna kitu, ila ukiangalia kisahani ndio utajua unatambaa
Kama kistarehe labda kutembelea familia au vekesheni basi mdogo mdogo raha sana halafu uwe na mwenzio
Lakini kama una dharulula kamua baba
wacha niwe nakamua hivyo hivyo washike adabu wa vigari vidogo japo maumivu yake ya spear na mafuta najua mwenyewe rohoni kwangu. :tinfoil3:
Maandishi mekundo ni nini mkuu prondo?
Nilikuwa nimeshaanza kuelewa sasa mmenichanganya tena.........niendeshe taa ikiwaka O/D off au isiwepo hiyo taa.......?
Hii topic kila kukicha inanzishwa, halaf natoka kappa
Sasa correct me if am wrong: ILE TAA KWENYE DASHBOD HAITAKIWI IWEPO ILI U-SAVE MAFUTA, sawa au sio sawa?
Naommba jibu liwe tu SAWA aU SIO SAWA ili musiendeleee kunichanganya
Kwa jinsi nilivyowaelewa wadau hapo juu ni kwamba ukiwa unaendesha ktk mazingira ya kawaida taa HAITAKIWI kuwepo (i.e hapo ndipo OD inakuwa ON - to save fuel) ila kama unataka ku-overtake au kupanda mlima taa INATAKIWA kuwepo (i.e hapo ndipo OD inakuwa OFF - fuel consumption inakuwa kubwa na unapata rpm kubwa, mwendo wa gari unaongezeka).
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
correct.
button ya OD mm ninavyoelewa inafanya kaz kwa approach sawa na magari yenye turbo ambapo kwa magar ya turbo huwa yanafungua yenyewe automatically gari inapofikia speed limit flani na na mwendeshaji anahitaji mwendo zaidi hii husave mafuta na speed huongezeka na nguvu pia. ninavyoona tofauti ya turbo na hiyo button ya OD ni kwamba turbo inafunguka automatic na OD unapress manually.
ndugu,hivyo ni vitu viwili tofauti,turbo iko kwenye engine na OD iko kwenye gearbox