Kisali.TechnitianJr.
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 592
- 182
mkuu inafuatana na gari, inaweza kuwa taa inawaka ila imekueleza bila kificho kuwa O/D OFF apo imezima, ila kwa gari inayoandika O/D bila ya kuongeza neno iyo ndo ina nature ya ukiweka O/D mwanga ukatokea uje iko on, ikiibonyeza mwanga ukazima ujue iko off.
Hapo sikuungi mkono hata kidogo hilo sijawahi liona hata usipowasha mbona inatembea sana kuashiria ni zaidi ya 3.
Nilikuwa nimeshaanza kuelewa sasa mmenichanganya tena.........niendeshe taa ikiwaka O/D off au isiwepo hiyo taa.......?
Jitahidi hapo kwa upande wa kulia usiwe unavuka vuka sana hadi namba tatu kwa safari ya mbali, vinginevyo utakuwa unatumia mafuta mengi sana kwa kilomita,maili chache
O/D inalimit gari lisiende mwendo zaidi ya 3rd gear....... yaani hutumika katika miteremko mikali au mlima. Inapokuwa imewashwa maana yake gar inakuwa huru kuenda zaidi ya gear namba 3 yaani 4 na kuendelea......
Natumaini nimekusaidia kwa kiasi fulani
Kuna mwingine aliyesema anataka jibu la sawa au si sawa basi, kwa jinsi wanavyotuvuruga na maelezo!
Kuna wengine waliotuongezea ufafanuzi kuwa inatofautiana gari na gari. Nyingine ukipress kitufe cha OD kwenye dashboard itajiandika OD, basi hapa ni kuwa overdrive yako iko on, kama hakuna neno OD kwenye dashboard basi iko off. Gari nyingine ukipress button kwenye dashboard pataandika OD/OFF, hapa utakuwa umeizima. Mafuta yanatumika zaidi ikiwa On na nguvu ya gari nayo inaongezeka.
Sijui atatokea mwingine wa kubangarua matofali yangu ya uelewa niliyoegesha yarabi....
Sasa nitajuaje gari yangu ni ya off au on or vice versa.........inachanganya sana.......wayiiii.......mradi mwarabu bado ana visima.......potelea pote.........
Taja aina ya gari lakini gari nyingi taa ikawaka ni kuwa iko on.
Ha ha.......nimefanya majaribio......nikikibofya kwenye kilima majirani wanadhani ni jet.......mi nawacheck tu.........
Yangu ni Nadia ina hii button
Hii topic kila kukicha inanzishwa, halaf natoka kappa
Sasa correct me if am wrong: ILE TAA KWENYE DASHBOD HAITAKIWI IWEPO ILI U-SAVE MAFUTA, sawa au sio sawa?
Naommba jibu liwe tu SAWA aU SIO SAWA ili musiendeleee kunichanganya
ila speed ikisha fika 70 na kuendelea ibonyeze iwe ina waka!SAWA :happy:
wewe ndo unaanza kunichanganyaila speed ikisha fika 70 na kuendelea ibonyeze iwe ina waka!
Technician njaa. Acha kupotosha umma!
where is your point? Una umri gani mkuu? Pinga hoja kwa hoja siyo kuropoka huku huonyeshi nini unachokifahamu. Neno lenyewe kuandika shida.