Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,358
- Thread starter
- #81
Gaga naomba nitofautiane na wewe kidogo...Nna kamsemo kangu kanasema "IF SOMEONE DOES YOU WRONG TAKE IT ON THEM NOT ON SOMEONE ELSE".Kwa hiyo kama mtu sijui kawa cheated au mtu mwingine kamboa huko hatakiwi wala haistahili kumwangushia hasira mtu ambae hajahusika!Nyumbani kwako mnunie mumeo kwa kukukasirisha ukitoka nje cheka na marafiki zako au atleast kua mpole tu badala ya kuwapa adhabu wasiyo stahili!Sio haki kukosewa na mtu fulani alafu umwadhibu mwingine!